Wednesday, December 21, 2011

WATU 13 WAPOTEZA MAISHA JIJINI DAR ES SALAAM KUTOKANA NA MVUA!!



Boti zikitumika kuwaokoa wananchi ambao walikumbwa na mafuriko katika Jiji la Dar Es Salaam. Boti hiyo ilitumika kuwaokoa wakazi wa Jangwani na hata Kigogo ambao walikuwa wamechukuliwa na mafuriko hayo. Mamia ya wananchi hawana makazi kutokana na mvua hizo zilizochangia kuzuka kwa mafuriko huku watu 13 wakipoteza maisha na uharibifu mwingine wa miundombinu ukishuhudiwa!!

No comments:

Post a Comment