




Ligi Kuu nchini Uingereza imeendelea na kushuhudia Manchester United ikifanikiwa kuibuka na ushindi wa magoli 5-0 na kuikaribia Manchester City kilele baada ya timu hiyo kulazimishwa sare ya bila kufungana na Wes Bromwich Albion!! Chelsea walikwenda sare ya goli 1-1 mbele ya Fulham wakati Liverpool walibanwa mbavu na Blackburn Rovers baada ya kutoka sare ya goli 1-1!!
No comments:
Post a Comment