Monday, December 19, 2011

MAN CITY YAREJEA KILELENI WAKATI MAN UTD IKISHINDA DHIDI YA QPR!!




Klabu ya Manchester City imefanikiwa kurudi kileleni mwa Ligi Kuu Nchini Uingereza baada ya kuifunga Arsenal kwa goli moja kwa nunge!! Goli la David Silva ndiyo lilipeleka kilio kwa Washika Bunduki wa Jiji la London!! Manchester United ilifanikiwa kupata ushindi wa magoli 2-0 mbele ya Queens Park Rangers!!

No comments:

Post a Comment