Thursday, December 29, 2011

PIGO KWA TASNIA YA HABARI TANZANIA JOHN NGAYHOMA AFARIKI DUNIA!!!


Mtangazaji wa zamani wa ITV/Radio One na Shirika la Utanagazaji la Uingereza BBC Kiswahili John Ngahyoma amefariki dunia mapema asubuhi ya leo!! Ngahyoma amefikwa na mauti akiwa Hospital ambako alikuwa anapatiwa matibabu baada ya kuugua kwa muda mrefuna hata kulazimika kupekwa nchini India kwa matibabu lakini haikusaidia!! Kifo cha Ngahyoma kimekuja wakati Tasnia ya Habari ikiwa imepata pigo kubwa la kuondokewa na mwandishi wa Tbc Halima Mchuka!! Blogu hii imepokea kwa masikitiko makubwa sana kifo hicho!! Mwenyezimungu aiweke roho yake mahali panapostahili!! Ameen!!

No comments:

Post a Comment