Tuesday, December 27, 2011

JONNY EVANS KUKAA NJE KWA MAJUMA MAWILI!!


Kocha Mkuu wa Manachester United Sir Alex Ferguson amesema watamkosa Beki wao wa kati Jonny Evans kwa majuma mawili hadi matatu na hivyo kumfanya kuwa na majeruhi kumi na moja wa kikosi chake!! Evans aliumia kwenye mchezo dhidi ya Wigan Athletic uliopigwa hiyo jana!! Wachezaji wengine ambao ni majeruhi kwa sasa ni Nemanja Vidic, Darren Fletcher, Rio Ferdinand, Michael Owen, Anderson, Tom Cleverley, Fabio Da Silva, Phil Jones, Ashley Young na Chris Smalling!!

No comments:

Post a Comment