Monday, December 19, 2011

BARCELONA YATWAA UBINGWA WA KLABU BINGWA DUNIANI!!


Klabu ya FC Barcelona imefanikiwa kutetea Ubingwa wake wa Klabu Bingwa ya Dunia baada ya kuifunga Santos kwa magoli 4-0!! Katika mchezo wa fainal uliopigwa nchini Japan katika Jiji la Yokohama ulishuhudia Lionel Messi akifanikiwa kufunga magoli mawili huku mengine yakifungwa na Xavi Hanandez na Cesc Fabregas!!

No comments:

Post a Comment