



Hali ilivyo katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar Es Salaam baada ya mvua kali ikiambatana na radi kuendelea kutikisa Jiji hilo. Mvua hiyo imenyesha kwa saa zaidi ya nne sasa huku mawasiliano ya barabara yakikatizwa na kuchangia watu kushindwa kufika maeneo wanayokwenda!! Jeshi la Polisi nalo linaendelea na zoez la uokozi kwa wale ambao wamekwama kwenye maeneo ya mabondeni!!
No comments:
Post a Comment