Tuesday, December 27, 2011

ARSENAL YABANWA MBAVU EMIRATES NA KUAMBULIA SARE!!



Klabu ya Arsenal maarufu kama Washika Magobole waJiji la London wamebanwa mbavu katika mchezo wa Ligi Kuu Nchini England baada ya kuambulia sare ya bao 1-1 mbele ya Wolves!! Kutokana na matokeo hayo Klabu ya Arsenal imeendelea kujiweka mbali na mbio za Ubingwa msimu huu!!

No comments:

Post a Comment