

Klabu ya Arsenal maarufu kama Washika Magobole waJiji la London wamebanwa mbavu katika mchezo wa Ligi Kuu Nchini England baada ya kuambulia sare ya bao 1-1 mbele ya Wolves!! Kutokana na matokeo hayo Klabu ya Arsenal imeendelea kujiweka mbali na mbio za Ubingwa msimu huu!!
No comments:
Post a Comment