Friday, April 23, 2010

LIVERPOOL YALALA WAKATI FULHAM IKILAZIMISHA SARE UEFA!!




Michezo miwili ya nusu fainali ya Mchuano wa Ligi ya Europa imepigwa na kushuhudia Atletico Madrid wakiwalaza Vijogoo vya Jiji Klabu ya Liverpool wakati Fulham wakipata sare tasa ya ugenini dhidi ya Hamburg!!!

No comments:

Post a Comment