Monday, April 19, 2010

SIMBA YAKABIDHIWA KOMBE!!!


Wachezaji wa Simba wakinyanyua Kombe la Ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambalo wamekabidhiwa baada ya kuichakaza Yanga kwa magoli 4-3. Hongera Simba kwa Ubingwa!!!

No comments:

Post a Comment