

Michezo mitatu ikiwa imesalia kwa Chelsea na Manchester United kabla ya kumaliza Ligi Kuu Nchini England hatua tamu zaidi imefikia. Baada ya Man Utd kuifunga Man City wenzao Chelsea wamepoteza mchezo wao dhidi ya Tottenham Hotspurs na hivyo kufanya kibarua kuwa kigumu cha nani ataibuka Bingwa msimu huu.
No comments:
Post a Comment