Sunday, April 18, 2010

DAKIKA CHACHE ZIMESALIA KABLA YA SIMBA NA YANGA KUUMANA!!!


Uwanja Mkuu wa Taifa ambapo dakika chache zijazo kutapigwa mchezo wa watani wa Jadi Simba na Yanga ukiwa mchezo wa mwisho katika Msimu huu ambapo tayari Wekundu wa Msimbazi wameshatwaa ubingwa!!!

No comments:

Post a Comment