Sunday, April 18, 2010

MCHUANO WA LANGALANGA WASHIKA KASI!!!!


Mchuano wa magari yaendayo kasi duniani maarufu kwa jina la Langalanga umemalizika nchini China na kushuhudia Jenson Button akiikwaa nafasi ya kwanza, huku nafari ya pili ikienda kwa Lewis Hamilton na nafasi ya tatu ikiangukia kwake Nico Rosberg. Mpangilio kwa nafasi kumi za juu ni kama ifuatavyo:
Driver Time
1 J Button 1:46:42.163
2 L Hamilton 1:46:43.693
3 N Rosberg 1:46:51.647
4 F Alonso 1:46:54.032
5 R Kubica 1:47:04.376
6 S Vettel 1:47:15.473
7 V Petrov 1:47:29.763
8 M Webber 1:47:34.335
9 F Massa 1:47:39.959
10 M Schumacher 1:47:43.912

No comments:

Post a Comment