Thursday, April 21, 2011

WENGER HAJAKATA TAMAA YA UBINGWA WAKATI CHELSEA IKICHUKUA NAFASI YA PILI!!




Kocha Mkuu wa Arsenal Arsene Wenger a,esema wataendelea kupigia Ubingwa hadi hatua mwisho licha ya kuambulia sare ya magoli 3-3 dhidi ya Tottenham Hotspurs!!! Mabingwa Watetezi Chelsea wamejikita katika nafasi ya Pili baada ya ushindi wa magoli 3-1 dhidi ya Birmingham City!!

No comments:

Post a Comment