


Kocha Mkuu wa Arsenal Arsene Wenger a,esema wataendelea kupigia Ubingwa hadi hatua mwisho licha ya kuambulia sare ya magoli 3-3 dhidi ya Tottenham Hotspurs!!! Mabingwa Watetezi Chelsea wamejikita katika nafasi ya Pili baada ya ushindi wa magoli 3-1 dhidi ya Birmingham City!!
No comments:
Post a Comment