



Goli la Kichwa lililofungwa na Cristiano Ronaldo katika mchezo wa Fainal ya Kombe la Mfalme nchini Sapin lilitosha kuwapa Ubingwa Real Madrid na kuwanyang'anya taji Barcelona!! Goli hilo lilifungwa katika muda wa nyongeza za dakika thelathini baada ya dakika tisini timu hizo kutoshana nguvu!!
No comments:
Post a Comment