Monday, April 11, 2011
MAN CITY MAJI YAZIDI UNGA MBELE YA LIVERPOOL!!
Klabu ya Liverpool, Vijogoo Vya Jiji jana walifanikiwa kuibuka na ushindi mnono wa magoli 3-0 mbele ya Manchester City ikiwa ni kulipiza kisasi cha mchezo wa kwanza!! Ushindi huo umerejesha matumaini kwa Liverpool kufanya vizuri kwenye michezo iliyobakia!!!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment