Monday, April 11, 2011

MAN CITY MAJI YAZIDI UNGA MBELE YA LIVERPOOL!!




Klabu ya Liverpool, Vijogoo Vya Jiji jana walifanikiwa kuibuka na ushindi mnono wa magoli 3-0 mbele ya Manchester City ikiwa ni kulipiza kisasi cha mchezo wa kwanza!! Ushindi huo umerejesha matumaini kwa Liverpool kufanya vizuri kwenye michezo iliyobakia!!!

No comments:

Post a Comment