Wednesday, April 6, 2011

INTER MILAN, TOTTENHAM WASHIKWA PABAYA LIGI YA MABINGWA!!





Mabingwa Watetezi wa Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya Inter Milan imeanza vibaya hatua ya Robo Fainal baada ya kupata kichapo kutoka kwa Schalke 04 wakiwa San Siro baada ya kufungwa magoli 5-2 huku Real Madrid wakitumia vyema Uwanja wa nyumbani kwa kuifunga Tottenham Hotspurs kwa magoli 4-0!!

No comments:

Post a Comment