Tuesday, April 12, 2011

MANCHESTER UNITED YAZIMA NDOTO ZA CHELSEA!!







Ndoto za Chelsea kufuzu kwenye Nusu Fainal ya Ligi ya Mabingwa Bara Ulaya zimeyeyuka kwenye Uwanja wa Old Traford baada ya kukubali kipigo kingine cha magoli 2-1 kutoka Manchester United!! Kwa matokeo hayo Chelsea hawana chao kwenye Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya Msimu huu baada ya kuondoshwa kwenye mashindano!!

No comments:

Post a Comment