





Ndoto za Chelsea kufuzu kwenye Nusu Fainal ya Ligi ya Mabingwa Bara Ulaya zimeyeyuka kwenye Uwanja wa Old Traford baada ya kukubali kipigo kingine cha magoli 2-1 kutoka Manchester United!! Kwa matokeo hayo Chelsea hawana chao kwenye Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya Msimu huu baada ya kuondoshwa kwenye mashindano!!
No comments:
Post a Comment