




Mabingwa Watetezi wa Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya, Inter Milan jana wameondolewa kwenye mashindano baada ya kukubali kichapo kutoka kwa Schalke 04 kwa magoli 2-1!! Real madrid wenye wametinga nusu fainal baada ya kuwafunga Tottenham Hotspurs kwa goli 1-0!!
No comments:
Post a Comment