Wednesday, April 13, 2011

INTER MILAN WATEMA KOMBE, MADRID WAKIWAFUATA BARCELONA!!






Mabingwa Watetezi wa Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya, Inter Milan jana wameondolewa kwenye mashindano baada ya kukubali kichapo kutoka kwa Schalke 04 kwa magoli 2-1!! Real madrid wenye wametinga nusu fainal baada ya kuwafunga Tottenham Hotspurs kwa goli 1-0!!

No comments:

Post a Comment