Wednesday, April 6, 2011

MAN UTD, BARCELONA ZAWEKA HAI MATUMAINI YA KUTINGA NUSU FAINAL!!








Goli la pekee la Mshambuliaji wa Kimataifa wa Uingereza Wayne Rooney limetosha kuwapa ushindi wa ugenini Manchester United katika mchezo wa Kwanza wa Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya mbele ya Chelsea. Barcelona kwa upande wao wametoa kipigo kizito kwa Shakhtar Donetsk cha magoli 5-1!!!

No comments:

Post a Comment