Wednesday, March 16, 2011

MOURINHO AVUNJA MWIKO KWA LYON!!



Klabu ya Real Madrid imefanikiwa kutinga hatua ya Robo Fainal baada ya kuvunja mwiko wa kuwa kibondr mbele ya Olympique Lyon baada ya kushinda kwa magoli 3-0. Klabu ya Chelsea nayo imesonga mbele baada ya kutoka sare ya 0-0 dhidi ya FC Copenhagen!!

No comments:

Post a Comment