Tuesday, March 15, 2011

ARSENAL YASISITIZA DJOUROU NJE MSIMU WOTE!!


Klabu ya Arsenal maarufu kama Washika Bunduki wa Jiji la London wametoa taarifa inayosisitiza watamkosa Baki wake wa Kati Rais wa Uswiss kwa muda wote uliosalia kabla ya kumalizika kwa msimu. Johan Djourou alipata maumivu ya bega baada ya kugongana na Bakar Sagna katika mchezo wa Robo Fainal wa Kombe la FA dhidi ya Manchester United!!

No comments:

Post a Comment