Tuesday, March 15, 2011

MAN UTD NA INTER MILAN ZATINGA ROBO FAINAL CHAMPIONS LEAGUE!!




Klabu ya Manchester United ikiwa nyumbani katika Dimba la Old Trafford wamefanikiwa kutinga Robo Fainal ya Ligi ya Mabingwa baada ya kuichakaza Marsseile kwa magoli 2-1!! Wakati Mabingwa Watetezi Inter Milan wamefanikiwa kuibuka kidedea mbele ya Bayern Munich kwa magoli 3-2 na kuendelea na mbio zao za kusaka Ubingwa!!

No comments:

Post a Comment