


Klabu ya Manchester United ikiwa nyumbani katika Dimba la Old Trafford wamefanikiwa kutinga Robo Fainal ya Ligi ya Mabingwa baada ya kuichakaza Marsseile kwa magoli 2-1!! Wakati Mabingwa Watetezi Inter Milan wamefanikiwa kuibuka kidedea mbele ya Bayern Munich kwa magoli 3-2 na kuendelea na mbio zao za kusaka Ubingwa!!
No comments:
Post a Comment