Monday, March 7, 2011

MAAMUZI YA UTATA YAENDELEA LIGI KUU ENGLAND!!




Mtafaruku uliozuka baada ya Jamie Carragher kumchezea rafu mbaya Luis Almeida Da Cunha Nani na kisha Refa Philp Dowd kutoa maamuzi ya kuchelewa na ambayo hayakuwa sahihi!! Maamuzi yanaendelea kuwa ni mabovu kila kukicha katika Ligi nchini England na kutishia kuharibu ubora wa Ligi hiyo!! Katika mchezo huo Man Utd walichakazwa magoli 3-1 na Liverpool!!

No comments:

Post a Comment