Wednesday, September 15, 2010

VALENCIA NJE MSIMU WOTE!!




Kiungo wa Pembeni wa Klabu ya Manchester United Antonio Valnecia huenda akawa nje ya Dimba kwa kipindi chote cha msimu kutokana na kuumia kifundo cha mguu kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya dhidi ya Rangers uliopigwa kwenye Dimba la Old Trafford. Kocha Mkuu wa Man Utd Sir Alex Ferguson amethibitisha huenda mchezji huyo asipatikane hadi mwishoni mwa msimu!!!

No comments:

Post a Comment