Saturday, September 18, 2010

MHANGA WA UBUNGE AUKWAA UKUU WA WILAYA!!!


Kada wa Chama Cha Mapinduzi CCM Nape Moses Nnauye ameteuliwa na Rais Jakaya Mrisho Kikwete kuwa Mkuu wa Wilaya ya Masasi. Hii inaweza kuwa njia moja wapo ya kumfuta "JASHO" baada ya kushindwa kupata nafasi ya kuwa mgombea Ubunge katika Jimbo la Ubungo!!!

No comments:

Post a Comment