Thursday, September 16, 2010

RAFAEL NADAL AENDELEA KUSHEREHEKEA TAJI LA US OPEN!!!


Mchezaji ambaye anaorodheshwa katika nafasi ya kwanza upande wa wanaume kwa Mchezo wa Tennis na Bingwa wa US Open Rafael Nadal ameendelea kusherehekea ubingwa wake na hapa ilikuwa katika Uwanja wa Sabtiago Bernabeu kabla ya kuchezwa kwa mchezo wa Ligi ya Mabingwa kati ya Real Madrid na Ajax Amsterdam.

No comments:

Post a Comment