


Ligi Kuu Tanzania Bara imeendelea ambapo Bingwa Mtetezi Simba amefanikiwa kupata ushindi wa magoli 2-1 dhidi ya Ruvu Shooting, Wakati Mtibwa wakiwalazimisha sare Yanga ya goli moja kwa moja huku Azam wakipata kichapo cha goli moja kwa nunge kutoka kwa Kagera Sugar!!!
No comments:
Post a Comment