Thursday, September 16, 2010

SIMBA YAZOA POINTI TATU WAKATI YANGA IKICHECHEMEA!!!




Ligi Kuu Tanzania Bara imeendelea ambapo Bingwa Mtetezi Simba amefanikiwa kupata ushindi wa magoli 2-1 dhidi ya Ruvu Shooting, Wakati Mtibwa wakiwalazimisha sare Yanga ya goli moja kwa moja huku Azam wakipata kichapo cha goli moja kwa nunge kutoka kwa Kagera Sugar!!!

No comments:

Post a Comment