Monday, December 20, 2010

TP MAZEMBE NA HISTORIA KWENYE SOKA!!


Klabu ya TP Mzembe hatimaye imeweza kuandika historia na kuudhihirishia ulimwengu kuwa hata Klabu za Bara la Afrika zinaweza kusakata soka la uhakika!! TP Mazembe ambao walishindwa kutwaa ubingwa wa Klabu Bingwa ya Dunia mbele ya Inter Milan watakumbukwa daima kwa kile ambacho wamekifanya!! Hii inawadhihirishia wale ambao walikuwa wanahoji jinsi ambavyo walitwaa Ubingwa wa Klabu Bingwa Barani Afrika!!

No comments:

Post a Comment