Monday, December 27, 2010

CHELSEA KIMEO KWA ARSENAL!!





Washika Magobole wa Jiji la London Arsenal wamefanikiwa kumaliza uteja mbele ya Chelsea baada ya kuibuka na ushindi wa magoli 3-1!! Magoli ya Ale Song, Cecs Fabregas na Theo Walcott ndiyo yaliyomaliza uteja wa Arsenal!!

No comments:

Post a Comment