

Kocha Mkuu wa Chelsea Carlo Ancelotti amekalia kuti kavu baada ya timu yake kupata kichapo cha magoli 3-1 kutoka kwa Arsenal!! Licha ya dalili kuonesha kibarua chake kipo mashakani kutokana na kutoshinda michezo sita mwenyewe amesisitiza ataendelea kuwepo na sasa anataka kusajili zaidi January!!
No comments:
Post a Comment