Monday, December 27, 2010

ANCELOTTI AKALIA KUTI KAVU CHELSEA!!



Kocha Mkuu wa Chelsea Carlo Ancelotti amekalia kuti kavu baada ya timu yake kupata kichapo cha magoli 3-1 kutoka kwa Arsenal!! Licha ya dalili kuonesha kibarua chake kipo mashakani kutokana na kutoshinda michezo sita mwenyewe amesisitiza ataendelea kuwepo na sasa anataka kusajili zaidi January!!

No comments:

Post a Comment