Thursday, December 30, 2010

LIVERPOOL KIMEO, CHELSEA IKIFUFUKA, ARSENAL NGUVU YA SODA!!







Waswahili husema mwaka wa hasara ni hasara tu hata ufanyaje na ng'ombe wa maskini hazai!! Klabu ya Liverpool imeendelea kudhihirisha hili baada ya kupata kichapo cha nyumbani kutoka kwa Wolverhampton kwa goli moja kwa nunge!! Matokeo ya michezo mingine ni kama inavyoonekana:
Chelsea 1-0 Bolton
Liverpool 0-1 Wolverhampton
Wigan 2-2 Arsenal

No comments:

Post a Comment