Monday, December 20, 2010

GOLIKIPA BORA KWA UPANDE WANGU!!


Anaitwa Muteba Kidiaba Golikipa wa Klabu ya TP Mazembe ambaye style yake ya ushangiliaji imemzolea umaarufu mkubwa!! Lakini pia ni golikipa anayejua wajibu wake pindi anapokuwa golini kutetea Klabu na hata Timu yake ya Taifa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo DRC!!

No comments:

Post a Comment