Wednesday, December 1, 2010

MAN UTD YAANGUKIA PUA, ARSENAL IKIUA CARLING CUP!!




Manchester United imekumbana na shubiri baada ya kupata kichapo cha kwanza msimu huu cha magoli manne kwa nunge wakati Arsenal wakitinga Nusu Faila ya Carling Cup kwa kuichabanga Wigan Athletics kwa magoli mawili kwa buyu!!

No comments:

Post a Comment