Monday, February 13, 2012

ZAMBIA MABINGWA WA AFRIKA WAICHAKAZA IVORY COAST!!!








Timu ya Taifa ya Zambia maarufu kama Chipolopolo imefanikiwa kutwa Ubingwa wa Mataifa ya Afrika kwa mara ya kwanza baada ya kufanikiwa kuifunga Ivory Coast kwa mikwaju ya penalty 8-7!! Mchezo huo ulipigwa dakika 120 lakini hakuna timu ambayo iliweza kupata goli ndipo mikwaju ya penalty ikalazimika kutumika. Kolo Toure na Gervihno ndiyo walikosa penalty za Ivory Coast wakati kwa Zambia Kabala ndiye alikosa mkwaju huo. Stoppila Sunzu alifunga penalty na mwisho na kuwapa ushindi Chipolipolo!!!

No comments:

Post a Comment