Thursday, February 9, 2012

WAZIRI MKUU PINDA AKUTANA NA MADAKTARI KUWASIHI WAMALIZE MGOMO!!!


Waziri Mkuu Mizengo Kayanza Peter Pinda anaendelea kukutana na Uongozi wa Hospital ya taifa ya Muhimbili pamoja na Madaktari Bingwa kutoka Sekta ya Umma, Binafsi na Wastaafu ili kumaliza mgomo wa madakatari uliodumu kwa zaidi ya majuma mawili.

Mkutano huo ulianza saa tatu asubuhi ambapo pia Waziri Mkuu atakutana na Madaktari Bingwa, madaktari Waliosajili na Madaktari Waliopo Kwenye Mafunzo kwa Vitendokabla ya kukutana na Wafanyakazi wa Hispotali ya Muhimbili, Moi, Ocean Road na Wawikilishi kutoka Hospital za Mkowa wa Dar Es Salaam.

No comments:

Post a Comment