Thursday, February 9, 2012

FABIO CAPELLO AACHIA NGAZI UKOCHA WA ENGLAND!!!


Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Uingereza Fabio Capello ametangaza kujiuzlu wadhifa wake baada ya kufanya mazungumzo na Viongozi wa Chama Cha Soka nchini humo FA baada ya kupinga hatua na Nahodha John Terry kunyang'anywa unahodha!! Capello alionekana kuchukizwa na hatua hiyo na kutoa maneno ambayo yaliikera FA na sasa Harry Redknapp anatajwa huenda akachukua jukumu hilo!! Terry alinyang'anywa Unahodha baada ya kutoa maneno ya kibaguzi dhidi ya Anton Ferdinand na kumfanya afunguliwe kesi kitu kilichowafanya FA kumpora wadhifa huo!!!

No comments:

Post a Comment