Monday, February 13, 2012

WOLVES IMEMTIMUA KAZI KOCHA WAKE KUTOKANA NA KUPATA MATOKEO MABAYA!!!


Klabu ya Wolvehampton Wanderers ya nchini Uingereza imesitisha mkataba wake na Kocha aliyekuwa anakinoa kikosi hicho Mick McCarthy kutokana na timu hiyo kupata matokeo mabaya na hivyo kujiweka kwenye hatari ya kuweza kushuka daraja!!! Wolves imeshinda mchezo mmoja pekee kwenye michezo kumi na tatu iliyocheza na hivyo dhahiri imeanza kujichimia shimo la kushuka daraja msimu huu!!!

No comments:

Post a Comment