Wednesday, May 4, 2011

BARCELONA WATANGULIA WEMBLEY!!







Klabu ya Barcelona imefanikiwa kutinga hatua ya Fainal ya Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya baada ya kuoondoa kwenye mashindano Real Madrid kwa kwenda sare ya 1-1. Mchezo huo umetawaliwa na lwama lukuki kutoka kwa wachezaji wa Real Madrid ambao wanashutumu maamuzi!!

No comments:

Post a Comment