





Klabu ya Barcelona imefanikiwa kutinga hatua ya Fainal ya Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya baada ya kuoondoa kwenye mashindano Real Madrid kwa kwenda sare ya 1-1. Mchezo huo umetawaliwa na lwama lukuki kutoka kwa wachezaji wa Real Madrid ambao wanashutumu maamuzi!!
No comments:
Post a Comment