


Klabu ya Manchester United imefanikiwa kutinga katika Fainal ya Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya baada ya kuifunga Schalke 04 kwa magoli 4-1!! Kwa matokeo hayo Manchester United imefanikiwa kuiondosha Schalke 04 kwa magoli 6-1!! Kocha Mkuu wa Man Utd Sir Alex Ferguson amekitaka kikosi chake kutowahofia wapinzani wao Barcelona ambao watakumbana nao huko Wembley tarehe 28 May!!
No comments:
Post a Comment