Monday, May 2, 2011

MAREKANI YATANGAZA KIFO CHA OSAMA BIN LADEN!!!




Rais wa Marekani, Barack Hussein Obama ametangaza kifo cha Kiongozi wa mtandao wa Al Qaeda Osama Bin Laden ambacho kimetokea nchini Pakistan!! Rais wa Marekani ametangaza kuwa Haki imepatikana kutokana na kifo hicho!! Taarifa kutoka Vyombo vya Habari vya Marekani zinaeleza kuwa tayari Mwili wa Osama Bin Ladeba ameshazikwa Baharini!!

No comments:

Post a Comment