Monday, May 9, 2011

MANCHESTER UNITED YAKARIBIA UBINGWA NCHINI UINGEREZA!!






Ushindi wa magoli 2-1 iliyoupata Manchester United mbele ya Chelsea umeifanya klabu hiyo kukaribia kutwaa taji lake la kumi na tisa la Ligi Kuu nchini Uingereza. Kwenye mchezo huo mkali uliopigwa Old Trafford umeshuhudia Manchester ikipata magoli yake kupitia Javier Hernandez na Nemanja Vidic huku Frank Lampard akifunga goli la Chelsea!! Kwa sasa Manchester United iliyobakiwa na michezo miwili inahitaji pointi moja kutwaa Ubingwa!!

No comments:

Post a Comment