Sunday, February 27, 2011

ARSENAL SI RIZIKI YAPATA KICHAPO FAINAL CARLING CUP!!





Washika Mitutu wa Jiji la London, Arsenal wameendelea na laana yao baada ya kushindwa kuchukua Ubingwa wa Carling kufuatia kupatiwa kichapo cha magoli 2-1 mbele ya Vijana wa Birmingham City!! Matokeo hayo yameacha kilio kwa wanazi wa Arsenal kote ulimwenguni ambao walihisi mkosi ulikuwa umewatoka!!

No comments:

Post a Comment