



Timu ya Simba jana usiku ilifanikiwa kutwaa Ubingwa wa Kombe la Mapinduzi baada ya kuwafungwa Mahasimu wao Yanga kwa magoli 2-0!! Mchezo huo ulipigwa kwenye Uwanja wa Amani na kushuhudia Simba ikijipatia magoli yake kupitia Mussa Hassan Mgosi na Shija Mkina!!
No comments:
Post a Comment