Wednesday, January 12, 2011

SHEREHE ZA MIAKA 47 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR!!




Viongozi ambao wamehudhuria Sherehe za Miaka Arobaini na Saba ya Mapinduzi ya Zanzibar!! Sherehe hizi zimefanyika kwa mara ya kwanza wakati Visiwa vya Zanzibar vikiongozwa na Dokta Ally Mohamed Shein ambapo aliweza kuhutubia maelfu waliojitokeza!!

No comments:

Post a Comment