Tuesday, January 11, 2011

MESSI, MOURINHO NA MARTA WATWAA TUZO ZA FIFA!!




Tuzo za Mwaka za Fifa zimetolewa!! Lionel Messi ametwaa Tuzo ya Mchezaji Bora akiwashinda Xavi Hanandez na Andrea Iniesta wote kutoka Barcelona!! Jose Antonio Mourinho akiibuka Kocha Bora wa Mwaka!! Wakati Mchezaji Bora upande wa wanawake akiwa Marta Vieira Da Silva na kutwaa tuzo hiyo kwa mara ya Nne mfululizo!!

No comments:

Post a Comment